Jamani vitu vingine akina mama mnajitakia kabisaa, ebu soma hii

Jamani vitu vingine akina mama pamoja na akina dada mnajitakia nyinyi wenyewe, kwamfano unakuta mdada kavaa kinguo kifupi alafu anajipanga kwenda safari ya mbali.

Ivi jiulize kwakuvaa vinguo vifupi na vyenye kuonyesha maumbile yenu mnakuwa mkijenga picha gani kwa akina kaka zenu pamoja na wadogo zenu wanaokuwa wanawatazama???

Mfano mzuri mtazame mama huyu, kavaa kanga yake moja tu alafu kama unavyomuona akipiga misele yake kwenye watu wengi wenye kila aina ya tabia. Kwaiyo ikitokea mkabakwa asitokee mtu wakulalamika maana mnakuwa mmeyataka wenyewe.

Mimi sidhani kama mtu anaweza kuwa amevaa vizuri nguo ambazo zinastara arafu mwanaume akambaka kilahisi kama tunavyojionea kwenye matukio ya kila siku.

1 comments:

Biashara matangazo, yupo sokoni.

Reply

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Desgned By MTM Mikoa Yetu Published.. Blogger Templates
Back To Top