ALIYECHEZA MOVIE YA YESU (JESUS), NDIYE HUYU, HISTORIA YAKE HII HAPA

Bado zoezi la kugawa simu linaendelea, ili kushinda simu fuata maelekezo yaliyopo hapo juu.

Anajulikana kama Brian Beacon, yeye ni muigizaji maarufu duniani aliyeigiza filamu ya Yesu (Jesus). Alizaliwa mnamo tarehe 13/02/1946 kwenye mji wa Oxford nchini Uingereza (UK). Alijifunza sanaa katika chuo cha Oxford Youth Theatre cha humo nchini mwao.

Msanii huyu amepata kuigiza filamu kama The Triple Echo ilikuwa mwaka 1972, na miaka miwili baadae akafanya filamu inayofahamika kama Vampyres ambapo ilikuwa mwaka 1974, Lakini pia mwaka 1979 alifanya filamu ambayo ilikuwa gumzo dunia nzima filamu ya Yesu (Jesus) hadi ikafikia watu wengi tukawa tunahisi ndiye yesu kweli kutokana na jinsi alivyovaa uhusika (character).

Na mnamo mwaka 1985 alicheza filamu ya A Zed and Two Noughts. wasambazie na wenzio ili wamjue vizuri huyu msanii kwa kipaji chake alichokitumia kwa kuvaa mfano wa maandiko matakatifu na kuufikishia ulimwengu ujumbe stahiki.

Bado zoezi la kugawa simu linaendelea, ili kushinda simu fuata maelekezo yaliyopo hapo chini.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Desgned By MTM Mikoa Yetu Published.. Blogger Templates
Back To Top