Mini Shop Cheta au Duka Dogo
Mini Shop logo
Ni duka dogo kweli kama jina lake linavyojieleza hapo juu. Duka hili linatoa huduma ya mahitaji ya kawaida ya kila siku kwa wakazi wa Kitongoji cha Cheta pamoja na maeneo ya jirani au kwa...
NYUMBA PAMOJA NA FREMU ZA BIASHARA ZINAUZWA

NYUMBA PAMOJA NA FREMU ZA BIASHARA ZINAUZWA
Nyumba hii ina idadi ya vyumba vitano (5) ambavyo unaweza kuvitumia kwenye matumizi yako binafsi kulingana na jinsi unavyotaka kutumia sehemu ya vyumba ivyo.
ipo karibu na barabara kuu ya serikari, kwaiyo...
KAMA KWELI UNATAKA KUFANYA BIASHARA PITIA HAPA

Mpenzi msomaji wa makala hii, napenda nikwambie kitu kwamba siku izi watu wengi wanapenda kuanzisha biashara zao binafsi uku lengo lao kuu nikuachana na kuajiliwa kisha wajiajiri wenyewe na kujipatia kipato kupitia biashara zao walizo zianzisha.
Biashara...
Viwanja vinauzwa kwa bei nafuu sana eneo la Cheta Kazole

Viwanja vinauzwa kwa bei nafuu sana eneo la Cheta_Kazole kata ya Vikindu wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani (Mji unaokua).
SIFA ZA VIWANJA HIVI
1. Vyote vipo eneo la tambarale, ni umbali wa Futi 320 sawa na Mita 97.55...
Mkuu wa wilaya azungumzia barabara ya Magodani, Cheta, Kazole, Kilongoni hadi Vikindu

Mkuu wa wilaya azungumzia barabara ya Magodani na Kilongoni hadi Vikindu
inayopitia Cheta, Kazole kisha kuunganisha kwenye barabara kuu ya rami inayoenda mikoa ya kusini.
Aliyasema haya kwenye mkutano wake uliofanyikia tarehe 03/11/2017 eneo la Magodani...
CHETA, KAZOLE, MAGODANI, TUNATAKA BARABARA, SHULE, UMEME, SOKO, HOSPITAL, MAJI, MSIKITI NA KANISA

Cheta ni kitongoji kinachopatikana ndani ya kijiji cha Kazole kata ya Vikindu wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani.
Maendeleo huletwa na watu, watu wenyewe ndio sisi tukishirikiana na viongozi wetu ndipo tunaweza kupiga hatua chanya kuelekea kwenye...
JINSI YA KUTAMBUA KAMA UZITO WAKO UNAENDANA NA UREFU WA MWILIWAKO (BODY MASS INDEX BMI)

JINSI YA KUTAMBUA KAMA UZITO WAKO UNAENDANA NA UREFU WA MWILIWAKO
(BODY MASS INDEX BMI)
Kanuni(BMI)=uzito ÷ (urefu)kipeo cha pili
...
Kama wewe ni mpenzi na mshabiki wa msanii Diamond Platinum, ebuingia hapa uone kufuru

Pete na cheni mpya za Diamond Platnumz alizozivaa kwa wakati mmoja zina thamani ya shilingi milioni 158!
Hitmaker huyo wa Marry You amepost Instagram picha mbili zikionesha madini hayo kwa kile anachosema kuwainspire mashabiki wake.
“Thanks God...