Mkuu wa wilaya azungumzia barabara ya Magodani, Cheta, Kazole, Kilongoni hadi Vikindu

Mkuu wa wilaya azungumzia barabara ya Magodani na Kilongoni hadi Vikindu
inayopitia Cheta, Kazole kisha kuunganisha kwenye barabara kuu ya rami inayoenda mikoa ya kusini.

Aliyasema haya kwenye mkutano wake uliofanyikia tarehe 03/11/2017 eneo la Magodani kisha kuumalizia Kazole,  ambapo alisema tayari barabara hii ya kutoka Vikindu hadi Magodani kupitia Kazole na Cheta tayari imeisha wekwa kwenye bajeti na itatengenezwa mda sio mrefu.
Mkuu wa wilaya azungumzia barabara ya Magodani, Cheta, Kazole, Kilongoni hadi Vikindu
Mkuu wa wilaya azungumzia barabara ya Magodani, Cheta, Kazole, Kilongoni hadi Vikindu
Mbali na hili swala la barabara pia aliongerea kuhusu watu walio uziwa viwanja kwenye eneo la Hamidu kisha baadae wakaja kuvunjiwa nyumba na kunyang'anywa viwanja vyao.

Ambapo alisema atalishugulikia swala hilo baada ya kuwapata walioshiriki kuwauzia raia viwanja hivyo kutoka kwenye eneo la muwekezaji Hamidu.

Kuhusu swala la barabara hii ya Magodani kupitia Cheta, Kazole, Kilongoni hadi Vikindu nitarudi baada ya miezi mitatu 3 ili nione utekelezaji wake umefikia wapi.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Desgned By MTM Mikoa Yetu Published.. Blogger Templates
Back To Top