Mwanasisa wa DRC yamkuta maswahibu mazito kweli kweli, habari kamili bofya hapa

Hatimae Mahakama ya ICC yamhukumu miaka 18 jela mwanasiasa wa DRC, Jean Pierre Bemba kwa uhalifu wa kivita & uhalifu dhidi ya ubinadamu.

Waendesha mashitaka wanamlaumu makamu huyo wa rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo kwa kufumbia macho vitendo viovu vilivyofanywa na vikosi vyake katika ardhi ya Jamhuri ya Afrika Kati kuanzia Oktoba 2002 hadi Mei 2003.

Bemba alipatikana na hatia mwezi Machi, iliyohusisha mashitaka matano ya uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya binaadamu, baada ya kuwapeleka wanajeshi 1,500 kutoka katika jeshi lake binafsi katika Jamhuri ya Afrika ya Kati katika jitihada za kuzima mapinduzi dhidi ya mtawala wa wakati huo.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Desgned By MTM Mikoa Yetu Published.. Blogger Templates
Back To Top