Korea yafanya majaribio ya makombora yake mawili, zaidi bofya hapa

Korea kaskazini imefanya majaribio ya makombora yake mawili mbali na umoja wa mataifa kupiga marufuku matumizi yoyote ya makombora,taarifa zinasema kombora la kwanza halikufanikiwa huku la pili likisafiri umbali wa kilomita mia nne.

Msemaji wa Waziri wa Umoja wa taifa wa Korea Kusini Joeng Joon-hee amesema majaribio hayo ni kukiuka vikwazo.

Kila mtu anakuwa na bahati yake tena peke yake, ebu na wewe jaribu bahati yako kwa kubofya kwenye maelezo yaliyopo hapo chini

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Desgned By MTM Mikoa Yetu Published.. Blogger Templates
Back To Top