Kama ukuisikia habari hii basi ipo hapa kwa ajili yako mpendwa, bofya hapa

Kuna ajali iltokea maeneo ya Sanzale Bagamoyo siku ya juma nne tarehe 30 mwezi wa 9 mwaka huu.

Ajali iyo iliyohusisha Lori pamoja na gari la kampuni ya Pepsi ambapo Dereva wa gari la kampuni ya pepsi alijeruhiwa vibaya na kukimbizwa hospitali japo chanzo cha ajali iyo akikuweza kujulikana kwa araka ila inasadikiwa kuwa ni uzembe wa madreva.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Desgned By MTM Mikoa Yetu Published.. Blogger Templates
Back To Top